top of page

Hii ni riwaya inayozungumzia maisha ya kijana aitwaye Utubora. Kama jina lake lilivyo, kijana huyu anajipambanua kuwa ni mtu jasiri, imara, mvumilivu, mwaminifu, mkweli na mwenye misimamo imara katika maamuzi yake.

Utubora Mkulima by Shaaban Robert

SKU: 9789987084760
Ksh590.00Price
Quantity

    You May Also Want...

    bottom of page