top of page

Akiwa hana kitu zaidi ya kalamu yake, mwandishi wa habari, Walari Saire, anaamua kupambana na mfumo kandamizi, uliojaa rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na wizi wa rasilimali za nchi, hatua inayomweka katika hatari kubwa ya kupoteza maisha yake yeye na familia yake. Hatimaye alifungwa kwa kubambikwa kesi. Pamoja na madhila anayopitia huku watu wake wa karibu wakimwonya na kumtaka aache kufuatilia ‘mambo ya wakubwa’, Walari anaamua kutorudi nyuma lakini makubwa yanampata. Anaanza kupoteza watu wake wa karibu sana. Ni yeye sasa, aamue kusuka ama kunyoa.
Fuatana na mwandishi mahiri, Walari Saire katika mkasa huu wa Gereza la Kifo.

Gereza La Kifo

SKU: 9789987417872
Ksh600.00Price
Quantity

    You May Also Want...

    bottom of page