top of page

Ndolo Kamala, kijana msomi na mtoto wa Chifu Uvunyu wa Matani, ambaye pia ni Mrithi pekee wa Kiti cha baba yake, anaungana na Elude, binti jasusi kutoka Uingereza mzaliwa wa Ufaransa katika jukumu lake la kuhakikisha anaharibu mpango wa Ujerumani wa kuzalisha silaha kali ya Kibiolojia ya kufubaza ubongo ama utambuzi wa binadamu (Pathojeni ya Upako) nchini Tanganyika, silaha ambayo ingetumiwa na Ujerumani dhidi ya maadui zake wote wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia. Hata hivyo wakiwa katikati ya jukumu lao, Kamala na Elude wanajikuta wakianguka ndani ya penzi, huku tofauti zao za rangi na mila zikiwafanya wote wawili waanze kuzitafakari hatima zao…

Wimbo Wa Hatima

SKU: 9789987417704
Ksh800.00Price
Quantity

    You May Also Want...

    bottom of page