Wewe ndiye Christopher Liundi, unayetaka kumchumbia Rahma Simba?”
“Ndiyo mzee, tumependana.” Nikaulizwa tena, “Unajua kuwa Rahma ni Mwislamu? Hivyo hatutaki, hatutaki, hatutaki mtoto wetu aolewe na kafiri?”
Nikamjibu, “Mimi sio dini, namuoa mtu, hivyo kila mmoja wetu ataendelea na dini yake.”
“Ukitaka kuendelea na kazi, achana na Rahma.”
Mara Yangu Ya Kwanza
SKU: 9789987084838
Ksh1,100.00Price

















